March 16 Apmlifaya ya Clouds FM ilipata nafasi ya kuzungumza kwa simu na mfungwa mtanzania aliyefungwa gereza moja na Jack Cliff, jamaa jina lake halijawekwa wazi ila amefungwa gerezani hapo toka mwaka 2007 kwa kosa la kukamatwa na dawa za kulevya.
“Mimi nilikamatwa na madawa ya kulevya tulivamiwa katika hotel tukakutwa na madawa, nilikuhiwa natoka Dubai nakuja China, hivyo nilivyokuwa China ndio nikachukua hotel kupumzika, ili wenzangu waje wanisaidie kubeba madawa, sasa sijui taarifa askari walipata wapi wakaja kutukamata” >>> Mfungwa
“Mimi nilikamatwa na madawa ya kulevya tulivamiwa katika hotel tukakutwa na madawa, nilikuhiwa natoka Dubai nakuja China, hivyo nilivyokuwa China ndio nikachukua hotel kupumzika, ili wenzangu waje wanisaidie kubeba madawa, sasa sijui taarifa askari walipata wapi wakaja kutukamata” >>> Mfungwa
Note: Only a member of this blog may post a comment.