Staa wa Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiongea jambo baada
ya kushinda Tuzo ya Africa Magic Viewers Choice (MVCA) zilizofanyika
Lagos, Nigeria.
Akiwa na tuzo yake.
Akifanya mahojiano.
Muonekano wa ndani ya ukumbi. 
Wasanii wa uigizaji Bongo,
Elizabeth Michael ‘Lulu’ (kulia), Single Mtambalike ‘Rich Richie’
(kushoto) wakiwa Muongozaji filamu anayechipukia kwa kasi, Honeymoon
Mohammed (katikati).

Note: Only a member of this blog may post a comment.