
Karatasi za kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar utakaofanyika machi 20 zimewasili Zanzibar kwa ndege maalum ya kukodi kutoka Afrika Kusini ambapo ndipo zilipochapwa.
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Note: Only a member of this blog may post a comment.