Saturday, March 12, 2016

Anonymous

Huyu Ndiye Mchezaji Bora wa Mwezi Februari Ligi Kuu Uingereza -EPL

Kipa wa klbau ya Southampton Fraser Forster ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari Ligi Kuu Uingereza.
fosta
Muingereza huyo ambaye alikuwa nje kwa muda mrefu kutokana na majeruhi na kurudi Januari na kuichezea klabu yake mechi sita bila kufungwa, mechi dhidi ya Arsenal, West Ham na Swansea, na kujinyakulia alama saba Februari.
fosta1
Forster alikuwa mlinda pekee kutofungwa mechi sita, amewashinda washambuliaji Harry Kane na Jamie Vardy, viungo Willian na Christian Erikse na mlinda mlango Robert Huth katika tuzo hiyo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.