50 Cent anadai kuwa fedha anazopost kwenye Instagram kiasi cha jaji kumtaka atoe maelezo ni feki.
Rapper huyo hata hivyo amesema fedha hizi sio halisi na kwamba hajaficha mali zake.
50 Cent, aliyezaliwa kwa jina Curtis Jackson III, alitangaza kufilisika baada ya mahakama kumtaka atoe dola milioni 7 kwa mwanamke aliyepost mkanda wake wa ngono mtandaoni.
Note: Only a member of this blog may post a comment.