Friday, March 11, 2016

Anonymous

BATULI Asikitikia Figisu Ndoa ya RAYUU


11007850_412854112229544_460047070_n1
Staa wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’.
Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amesema miongoni mwa vitu vinavyomnyima furaha kipindi hiki ni ndoa ya msanii wa filamu, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ ambayo inadaiwa kuvunjika.
Akibonga machache na paparazi wetu juzikati, Batuli alisema anawashangaa wanao shabikia ndoa hiyo kuyumba, mbaya zaidi wengi wao ni wanawake ambao huenda nao siku moja yakawafika.
“Niliona jambo la heri Rayuu kuolewa, sasa hizi figisu zinazoibuka zinanikosesha amani kabisa, kikubwa afuate taratibu za dini kuhusiana na talaka hiyo,” alisema Batuli.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.