Kila siku Madereva huwa wanakutana na visa vya kukasirisha barabarani ila hii video hapa chini inatuambia, Dereva yeyote mtu akikuchomekea au kukuzingua barabarani inabidi uachane nae na uendelee na safari yako, kushuka na kuanza kumtishia kunaweza kuwafikisha pabaya.
Hii video hapa chini ni ya tukio la kweli kabisa, Jamaa kwenye gari dogo walimtukana Dereva wa lori wakadhani hatoweza kuwafanya chochote….

Note: Only a member of this blog may post a comment.