Friday, February 26, 2016

Anonymous

Kwa Mauno Yangu Watakaa Tu -SABBY Angel

sabby (2)
Mduara, Sabrina Omary ‘Sabby’.
Stori: Imelda mtema
Msanii wa filamu ambaye hivi sasa amejiingiza kwenye Muziki wa Mduara, Sabrina Omary ‘Sabby’ amefunguka kwamba anajiamini linapokuja suala la kukata viuno kiasi kwamba haoni msanii wa kike wa kumfunika.
sabby (3)Sabby ambaye ametoa kibao kinachokwenda kwa jina la Inahusu amesema anajua uwezo wa kuimba anao, ukijumlisha na uwezo wake wa kukata nyonga kana kwamba hana mfupa kiunoni anaamini atatusua kimuziki.


“Mimi najua ninaimba miondoko kama ya Shilole lakini niseme tu kwamba, yeye na wasanii wengine wa kike hakuna wa kunifikia kwa mauno,” alisema Sabby.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.