Mduara, Sabrina Omary ‘Sabby’.
Stori: Imelda mtema
Stori: Imelda mtema
Msanii wa
filamu ambaye hivi sasa amejiingiza kwenye Muziki wa Mduara, Sabrina
Omary ‘Sabby’ amefunguka kwamba anajiamini linapokuja suala la kukata
viuno kiasi kwamba haoni msanii wa kike wa kumfunika.

“Mimi najua ninaimba miondoko kama ya
Shilole lakini niseme tu kwamba, yeye na wasanii wengine wa kike hakuna
wa kunifikia kwa mauno,” alisema Sabby.

Note: Only a member of this blog may post a comment.