Hiyo ilikuwa ni safari ambayo hata Mzee Sumaye mwenyewe hakujua, kashtukizwa tu na ujio wa Rais… picha zimenifikia pia zikimuonesha Waziri Mkuu Majaliwa akiwa hospitali alikolazwa Mzee Sumaye.
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Note: Only a member of this blog may post a comment.