Monday, December 7, 2015

Anonymous

VIDEO: Kasi ya Rais MAGUFULI, Muhimbili Wamepata Hii Mashine Mpya ya Digital

November 9 2015 Rais Magufuli alifanya ziara ya ghafla ya kwenye hospitali ya taifa Muhimbili na kukuta Wagonjwa wanalala chini pia mashine nyingine hazifanyi kazi kama inavyotakiwa, siku chache baadae akaamua zile milioni zaidi ya 200 zilizokua zitumike kwenye sherehe ya kulikaribisha bunge la 11, zikatumike kununulia vifaa hospitali ya Muhimbili.
Leo December 7 2015 Mkuu wa idara ya tiba na mionzi Muhimbili Flora Lwakatare ametuonyesha mashine mpya iliyopatikana ambayo gharama yake ni zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania, bonyeza hii video hapa chini kutazama.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.