Wednesday, December 9, 2015

Anonymous

AUDIO: Mheshimiwa Mbunge Profesa JAY Alivyoianza Kazi Jimboni Kwake Mikumi

Staa wa kitambo kwenye bongofleva ambaye kwa sasa ni Muheshimiwa Mbunge wa jimbo la Mikumi Morogoro Tanzania Profesa Jay ameanza kuvisogeza vichwa vya habari karibu yake baada ya kuanza kuwafanyia kazi Wananchi wake ikiwa ni ndani ya siku 40 toka kura zipigwe na kumpa ushindi wa jimbo hilo, bonyeza play kwenye hii video hapa chini uone na ujue zaidi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.