Friday, November 6, 2015

Anonymous

Ushindi wa Mh. SUGU Hauna Faida Kwangu -Mzazi Mwenzake, FAIZA Afunguka

sugu na faiza (3)Faiza Ally.
Imelda mtema
Lady Gaga wa Bongo, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi amefungukia ushindi wa mzazi mwenzake huyo na kudai kuwa haumsaidii chochote.
sugu na faiza (1)Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’.
Akizungumza juzi na Ijumaa, Faiza alisema alivyosikia ushindi wa Sugu wala hakufurahi kwani alimchukulia kama mtu mwingine tu aliyeshinda.
“Mimi kwa kweli ushindi wa Sugu naona kama wa mtu mwingine, haunihusu wala kunisaidia chochote mimi na mwanangu. Yeye ana maisha yake na sisi tuna maisha yetu hivyo nikisema eti nimefurahi yeye kushinda nitakuwa nawadanganya,” alisema Faiza.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.