Akiongea na waandishi wa habari mjini Sumbawanga mwenyekiti wa Chadema wa mkoa wa Rukwa Bw Zeno Nkoswe, amesema licha ya kutoridhishwa na uteuzi wa Aida Kenani kuwa mbunge wa viti maalumu kutoka mkoa huo wa rukwa, pamoja na makao makuu ya chama kupewa taarifa mapema kuwa kiongozi huyo hivi sasa amekuwa msaliti, kwani mara tu baada ya kura za maoni amekuwa anakipigia debe chama cha TLP, lakini pia kutotekelezwa kwa ahadi ya kuwalipa mawakala zaidi ya 1,000 waliosimamia uchaguzi kwenye vituo mbalimbali, pia imekuwa sababu ya wao kujiuzuru nafasi zao.
Sunday, November 8, 2015
Pigo CHADEMA: Viongozi Wake Wajitoa Kwa Kutoridhishwa na Uteuzi wa Nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum
Akiongea na waandishi wa habari mjini Sumbawanga mwenyekiti wa Chadema wa mkoa wa Rukwa Bw Zeno Nkoswe, amesema licha ya kutoridhishwa na uteuzi wa Aida Kenani kuwa mbunge wa viti maalumu kutoka mkoa huo wa rukwa, pamoja na makao makuu ya chama kupewa taarifa mapema kuwa kiongozi huyo hivi sasa amekuwa msaliti, kwani mara tu baada ya kura za maoni amekuwa anakipigia debe chama cha TLP, lakini pia kutotekelezwa kwa ahadi ya kuwalipa mawakala zaidi ya 1,000 waliosimamia uchaguzi kwenye vituo mbalimbali, pia imekuwa sababu ya wao kujiuzuru nafasi zao.

Note: Only a member of this blog may post a comment.