Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Sunday, November 8, 2015
Anonymous
Nani Unahisi Atakuwa Waziri Mkuu wa Tanzania 2015-2020?
Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rais mteule wa awamu ya tano, nani unahisi atateuliwa na mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwa Waziri Mkuu?
Tupe jina la unayeona anafaa hapo chini kwenye comment box tafadhali
Note: Only a member of this blog may post a comment.