Thursday, November 19, 2015

Anonymous

Marubani Hawa Wawili wa Kike Waweka Historia Afrika [+PICHAZ]

Makapteni wawili wa kike Chipo M. Matimba (kushoto) akiwa na Elizabeth Simbi Petros (kulia) waliruka na ndege aina ya ‘Boeing 737′  kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Harare mpaka katika maporomoko ya Victoria.
tumblr_inline_nsjzu1ql4A1siqnoi_540
Ndege aina ya ‘Boeing 737′.
3-Meet-First-All-Women-Flight-Deck-Crew-Who-Made-Zimbabweans-Proud 
Wakiwa kazini wakifanya yao.
12249626_10153321595813940_4534544283184701734_nWakiwa katika pozi.
T 
Marubani hao wakishare furaha zao kupitia mitandao ya kijamii wa Facebook.
Wiki iliyopita shirika la ndege la Zimbabwe (Air Zimbabwe), lilitengeneza historia mpya duniani kwa kuwa nchi ya kwanza kurusha ndege iliyopo chini ya Uongozi wa Marubani wa kike pekee.
Makapteni wawili wa kike ambao ni Chipo M. Matimba  na Elizabeth Simbi Petros,  waliruka na ndege aina ya ‘Boeing 737′  kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Harare mpaka katika maporomoko ya Victoria.
Baada ya kufanikiwa kutua salama, Marubani hao wakaamua ku ‘Share’ furaha zao kupitia mitandao ya kijamii.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.