VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido.
Akizungumza na Amani Masogange
alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kwamba amekuwa
akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo halina ukweli wowote.
Note: Only a member of this blog may post a comment.