Monday, October 26, 2015

Anonymous

ZEC Watangaza Matokeo Ya Majimbo Mengine Manne Muda Huu

Tume ya Taifa ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza matokeo ya ubunge pamoja na baraza la wawakilishi katika Majimbo manne, jimbo la Mtambile , Ngogoni, Mtambwe, Gando. 
Washindi wa ubunge katika na majimbo yao na idadi ya kura ni hawa wafuatao:
MTAMBILE ni Masoud Abdallah Salim (CUF) Idadi ya kura 5,106

MTAMBWE ni Khalifa Mohamed Issa (CUF) Idadi ya kura 5,663

GANDO ni Othman Haji Omary (CUF) idadi ya kura 6, 111

NGOGONI ni Suleiman Ally Yusuf (CUF) Idadi ya kura 5,660

Nafasi ya baraza la uwakilishi kutoka MTAMBILE Mshindi ni Abdalla Bakari Hassan kwa kura 5383 

Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.