Nimeshangazwa na ukimya wa yule Mwanasheria nguli wa CHADEMA katika
utata mkubwa wa kisheria unaogubika taifa katika suala la uchaguzi
Zanzibar na pia madai ya UKAWA kuibiwa kura. Kulikoni kwa mwanasheria
huyu nguli? Hata kipindi cha mwisho mwisho cha kampeni za kitaifa UKAWA,
hakutokea hadharani kama ilivyokuwa mwanzoni mwa kampeni hizo.
Je kuna dots za ku-connect?
Je kuna dots za ku-connect?
Note: Only a member of this blog may post a comment.