Wananchi Wachomwa Moto Ofisi ya Kata Jijini Dar Baada ya Kucheleweshewa Matokeo
Ofisi ya kata ya Sandali ya Temeke Mikoroshini jijini Dar es Salaam imechomwa moto baada ya wananchi kudai kutangaziwa matokeo,hali iliyozusha hofu na jeshi la polisi kupiga kambi eneo hilo kwa ajili ya ulinzi,ambapo jeshi la zimamoto limefanikiwa kuzima moto huo.
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Note: Only a member of this blog may post a comment.