Sunday, October 11, 2015

Anonymous

Wananchi Tarime Wawasha Mishumaa na Kukesha Kulinda Bango la Edward LOWASSA

Pichani ni wananchi wakiwa wamewasha mishumaa jana majira ya saambili usiku katika eneo la jembe la Nyundo Tarime mjini wakilinda mabango ya mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Edward Ngoyai Lowassa ambaye Alikuwa Katika Wilaya hiyo leo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.