Thursday, October 29, 2015

Anonymous

[VIDEO+MAELEZO] Taarifa Maalum ya CCM Kuhusu Kupinga MATOKEO Kwenye Majimbo Haya

makambaMjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watakwenda mahakamani kupinga matokeo ya ubunge majimbo ya; Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na Kawe.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba amesema kuwa CCM haijaridhishwa na utaratibu wa ukusanyaji na ujumlishaji wa matokeo katika baadhi ya majimbo.
Taarifa yote soma hapa chini
Video ya January Makamba akiongea hii hapa, bonyeza play kuicheki na pia waweza ipakua kwa kubonyeza download

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.