Friday, October 30, 2015

Anonymous

VIDEO ya Lumumba Dar es Salaam wana-CCM Baada ya Ushindi wa DR. MAGUFULI

Baadhi ya wanachama wa CCM walikutana kwa pamoja katika Ofisi za Chama hicho jioni ya October 29 2015 kusherehekea ushindi iliomtangaza Dk. John Magufuli kuwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ataongoza Serikali ya awamu ya tano.
Video ya kutoka Lumumba Dar es Salaam hii hapa wanaCCM wakisherehekea ushindi wa Dr. Magufuli.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.