Akizungumza katika viwanja wa Zakhiem Mbagala Jijini Dar es Salaam, amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewabagua wananchi kwa muda mrefu sasa kutokana propaganda wanazoeneza.
Amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wa Taifa (NEC) ikiharibu utaratibu watu wa Mbagala hawataweza kuvumilia endapo kutakuwa na wizi wa wazi.
Amesema kuwa anawashukuru viongozi wa dini zote kwa ushirikiano wao katia kuhakisha anatwaa jimbo hilo la Mbagala na ndio waliowaombea dua makada wake katika kuhakisha kuwa hawaibiwi kura zake.
-via mwanahalisionline

Note: Only a member of this blog may post a comment.