Jana usiku nilikuwa naangalia habari kwenye kituo kimoja cha runinga.
Likatoka tangazo likimuonyesha Dr. Magufuli akijieleza kwa unyenyekevu
kwa watazamaji akiomba kura, nyuma kulikuwa na background ya bendera ya
Taifa na pia hata vituo kadhaa vya radio nimesikia mara kadhaa wakitoa
tangazo la huyo huyo Magufuli na wimbo wa Taifa ukipigwa.
Maoni yangu:
Kwa kuwa uchaguzi bado basi vyama vya siasa vizuiwe kutumia wimbo na
bendera ya Taifa kwenye kampeni zao. Badala yake watumie nembo na
bendera zao na ikibidi nyimbo za vyama vyao vinginevyo naona hii haiko
vizuri.
By Sajenti/Jamii Forums
Maoni yangu:
By Sajenti/Jamii Forums
Note: Only a member of this blog may post a comment.