Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wa kwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni malaika! Haya sasa mpira uko kwetu kupiga penati: Je, tutapaisha au tutalenga goli?
Hiki hapa chini ndicho alichokiandika rais Kagame wa Rwanda;
SOURCE: US 

Note: Only a member of this blog may post a comment.