Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Saturday, October 24, 2015
Anonymous
Rais KIKWETE: Afya za Wagombea Wengine Zilitupa Wasiwasi Wakati wa Mchakato wa Kumtafuta Mgombea!
Akimnadi mgombea urais kupitia CCM, rais Kikwete amesema wakati wa uteuzi wa mgombea urais ndani ya chama walizingatia suala la afya za wagombea na wakajiridhisha kuwa Magufuli yupo 'fiti' kiafya tofauti na wagombea wengine. Haya sasa, wale mlokosa tano bora mna madhaifu gani? #KutokaCCMKirumba
Note: Only a member of this blog may post a comment.