Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Wednesday, October 28, 2015
Anonymous
MTANGAZAJI Sam Mahela Pongezi Kwako, Hongera kwa ITV Pia!
Huyu kijana anajitahidi kwa kweli. Amenifanya niangalie zaidi ITV. Anakuletea kitu live, penye kukimbia anakimbia hata kwenye mabomu. Yupo safi kwa kweli. Nakuombea Mungu akuinue...
Note: Only a member of this blog may post a comment.