Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Tuesday, October 13, 2015
Anonymous
Mgombea Ubunge wa Mikumi-CHADEMA, Profesa JAY Amefunguka Haya Kuhusu Taarifa za Kukamatwa na Polisi!
Mgombea ubunge jimbo la Mikumi kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Joseph Haule
Soma alichokiandika hapa...
"Sijakamatwa kama watu wanavyotangaza, Nipo NGANGARI, Sina kesi ya aina yeyote na ninaliendeleza gurudumu la UKOMBOZI mpaka kieleweke! !! VIVA UKAWA VIVA...."
Note: Only a member of this blog may post a comment.