Baadhi ya maeneo na majimbo ambayo Magufuli alifanya kampeni hii leo ni Nachingwe katika Uwanjwa wa Sokoine huku mikutano mingine mikubwa zaidi ya Saba akifanya katika maeneo ya Chihola, Jimbo la Ruangwa, Jimbo la Mtama ambapo mkutano ulifanyika katika viwanja vya Soko la Majengo.
Baada ya hapo Magufuli alimalizia kampeni zake kwa leo katika mkutano ulihudhuliwa na umati mkubwa wa watu.
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL ALIYEKUWA LINDI
Note: Only a member of this blog may post a comment.