Wednesday, October 28, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: NEC YAFUTA UCHAGUZI NGAZI YA UBUNGE MBAGALA


Mgombea ubunge Jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CUF, Kondo Bungo 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imefuta Uchaguzi wa ngazi ya Ubunge jimbo la Mbagala, Dar es Salaam.
Taarifa zaidi juu ya sababu za kufutwa kwa Uchaguzi huo zitafuata hapo baadaye.
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.