Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, October 26, 2015
Anonymous
7 PICHAZ: Tazama Ukumbi Utakaotumiwa na NEC Kutangaza Matokeo ya Urais Kuanzia Saa Nne Asubuhi Hii
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani amesema kuwa matokeo ya Raisi awamu ya kwanza yataanza kutangazwa LEO Jumatatu saa 4 asubuhi, saa 7 mchana na saa 10 jioni.
Note: Only a member of this blog may post a comment.