Friday, October 23, 2015

Anonymous

10 PICHAZ: Shuhudia MAFURIKO ya LOWASSA Huko Ruaha, Mikumi ni Balaa!




Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015






Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Kulia) akiambiwa jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi Morogoro baada ya kuwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015

Mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule akimueleza matatizo ya Mikumi Mhe. Edward Ngoyai Lowassa katika viwanja vya Tem k2,leo Ijumaa 23 Oktoba 2015

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.