Wednesday, September 2, 2015

Anonymous

Vurugu Kinondoni, Dar: Wananchi waandamana Kumtaka Dr. SLAA Agombee Urais....Mabomu yatumika kutuliza ghasia


Maeneo ya Mataa - Moroko, Kikundi cha Vijana wachache wameandamana wakidai kumtaka Dk.Slaa awe Mgombea wa Urais kupitia UKAWA badala ya Edward Lowassa. 
Askari wametumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia hizo. 
Una maoni gani kuhusu hili?!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.