"Utafiti wetu wa ndani, tulioufanya kwa kipindi cha siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya majimbo 269, unaonyesha kwamba Dr. Magufuli atapata ushindi wa asilimia 69.3 Tunaamini kwamba asilimia hizi zitaongezek kadri Watanzania wengi zaidi wanavyopata fursa ya kumsikiliza Dr. Magufuli na kusikiliza Ilani na sera za CCM"
inaonekana utafiti huu ulifanyika katika majukwaa ya kampeni za CCM kwa sababu matokeo yao yanapingana na hali halisi zikiwemo tafiti za maoni kupitia mitandao mbalimbali, kama vile
Inaonekana utafiti huu ulifanyika katika majukwaa ya kampeni za CCM kwa sababu matokeo yao yanapingana na hali halisi zikiwemo tafiti za maoni kupitia mitandao mbalimbali, kama vile
1. Poll - EasyPolls.net
2. Online Pre-election Polling, 2015 Tanzania Election : Open Discussion Forums
3. VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
Ninaamini uchaguzi ukifanyika leo CCM haiwezi kupata kura zaidi ya 25%.
By Simplicity/JF


Note: Only a member of this blog may post a comment.