Tuesday, September 15, 2015

Anonymous

PICHAZ: Staa JOHN LEGEND na Mkewe Chrissy Teigen Walikuwa Zanzibar Mwaka Huu na Hawakutaka Dunia ijue!

John Legend na mke wake Chrissy Teigen walikuwa Zanzibar July mwaka huu lakini hawakutaka dunia ijue.
10848342_290100557827072_848541294_n
Sio kitu cha ajabu kwakuwa waliamua kufanya mapumziko yao kuwa ‘private’ zaidi lakini kupitia picha walizopost watu waliweza kugundua.
two
John alipost picha mbili akiwa visiwani humo ambapo moja mke wake Chrissy anaonekana akimbusu shavuni na nyuma ikionekana minazi ya Zanzibar.
Katika picha hiyo John aliandika tu, “Vacation has begun.”
Katika picha nyingine ambayo inaonesha wazi mandhari ya Zenji, muimbaji huyo aliandika: Vacation vibes.”
three
Picha zinaonesha kuwa wawili walikaa Zanzibar kwa siku mbili au tatu tu.
one
Wawili hao walienda Zanzibar wakati huo tamasha la ZIFF lilikuwa limefunguliwa. Hii ni mara ya pili muimbaji huyo kwenda Zanzibar. Mwaka 2009 alishoot video ya wimbo wake Show Me huko.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.