Thursday, September 24, 2015

Anonymous

PICHAZ: Muigizaji Maarufu Kenya Apoteza Maisha Kwenye AJALI MBAYA Akiwa na Gari ya Kifahari!

Muigizaji wa tamthilia nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Nana Gichuru Jumanne hii alipoteza maisha kwa ajali mbaya ya gari baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na lori.
11371008_756670874461029_75927147_n Nana enzi za uhai wake
Polisi na mashuhuda walidai kuwa muigizaji huyo huenda alikuwa akijaribu kuyapita magari kadhaa mbalimbali wakati akiwa kwenye gari yake aina a BMW na ndipo alivaana na lori hilo lililokuwa likija mbele yake.
NANA-GICHURU-ACCIDENT Gari aina ya BMW lililokuwa likiendeshwa na Nana likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na Lori na yeye kupoteza maisha papo hapo
Awali ya hapo, msichana huyo aliyewahi kufanya kazi Kenya Airways na blogger anadaiwa kuandika vitu kwenye mitandao ya kijamii vilivyoonekana kama alijitabiria umauti.
nana..
Katika post hizo mara nyingi amekuwa akiuliza kwanini watu huhoji uendeshaji wake wa gari.
“Life’s journey is not to arrive at the grave safely in a well preserved body, but rather to skid in sideways, totally worn out, shouting ‘HOLY CRAP!!!! WHAT A RIIIDEE,” aliandika Sept 11.
“To lace, red lips and oversized headphones and this amazing ride
#‎LifeAccessories ‪#‎SetLife ‪#‎HOLYCRAPWHATARIDE,” aliandika kwenye Instagram on September 10.
Alikuwa muigizaji kwenye tamthilia ya ya Maisha Magic, “How To Find A Husband.”
11925800_1467036103606212_315209469_n
Kwenye profile yake ya Instagram, Nana alijielezea kama ni: An actor, writer, musician, voice artist, young filmmaker, entrepreneur, travel junkie, maaard thinker and an unconventional human in Nairobi.
Agp2y4QVFiRZW-8Y-ZbazklG-HB_RJ5c7jedNJAJ-JU2
Am01nQtym0pu7rd7g_07yrE6zavmGum00Y5O9eKsGEos
Ap-Jtw4wQ1H1rAXiMj8LOuJF7LJIGR1YWP2OOss6W89Y-524x350
Chanzo: Capital FM

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.