Mwimbaji wa kundi la Longombas la nchini Kenya, Christian Longomba
amewashukuru mashabiki wake waliokuwa wakim-support kwa maombi kipindi
chote cha upasuaji wa kuondolewa uvimbe uliokuwa kichwani July mwaka
huu.
Baada ya upasuaji wa pili kwenda vizuri na kufanikiwa kuondolewa
uvimbe huo kwenye ubongo, amesema kuwa hivi sasa hali yake ni nzuri.
Mwimbaji huyo hakusahau kuwashukuru mashabiki wake kwa sala zao wakati yuko kwenye kipindi kigumu.
Kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii amepost picha hii (hapo juu) na kuandika;
“JOIN US IN CELEBRATING THE END OF A CHALLENGING JOURNEY THAT I
CHRISTIAN LONGOMBA CONQUERED BY THE POWER OF THE ALMIGHTY GOD. ITS THE
FINAL COUNTDOWN, STARTING TUESDAY THE 15TH 12:00 AM EAT.WE WILL HAVE A 3
DAYS COUNTDOWN LEFT OF RADIATION ANCOLOGY TREATMENT.
THIS JOURNEY WOULDN’T HAVE BEEN POSSIBLE WITHOUT THE SUPPORT FROM OUR
FANS, FRIENDS AND FAMILY. NOW WE WANT TO SHOW OUR LOVE BACK TO SOME
LUCKY FANS.WE CHALLENGE YOU TO FIND A CREATIVE WAY OF SHOWING YOUR
CONTINUAL SUPPORT ONCE MORE BY INCORPORATING A POSTER, BANNER OR HUGE
SIGN STATING “I STAND WITH CHRISTIAN LONGOMBA” DON’T FORGET THE HASH TAG
#GODSTRONG, AND ALSO TAGGING CHRISTIAN LONGOMBA ACROSS ALL SOCIAL
MEDIA( IG-CHRISTIAN_LONGOMBA, TWITTER – @LONGOMBAC, AND
FACEBOOK-CHRISTIAN LONGOMBA) WE WILL BE SELECTING A WINNER WITH THE MOST
CREATIVE PHOTO.
WINNER WILL BE ANNOUNCED ON MONDAY THE 19TH 12:00EAT AND
WILL RECEIVE. LONGOMBAS CHUKUA ALBUM, OUR NEW UNRELEASED EP THAT
INCLUDES OUR NEW SINGLE “PEPERUKA” A LOMGOMBAS AUTOGRAPHED POSTER, A
LONGOMBA’S T-SHIRT, AND A CHRISTIAN LONGOMBA AUTOGRAPHED POSTER.”

Note: Only a member of this blog may post a comment.