Katika baadhi ya wasanii ambao hawajaona wakiwa kwenye jukwaa lolote
la kisiasa kuwasaidia wagombea kunadi sera zao ni star wa RNB Ben Pol.
Mkali huyo alipofika leo Sept 25, 2015 katika studio za Ayo TV pamoja na millardayo.com alisema…’Kusema
kweli nimekuwa mzito sana kuona kama ni sawa au sio sawa yaani nimekuwa
mtu ambaye niko slow sana unakutana kuna wakati hata mtu akiniuliza Ben
unafanya kampeni moyoni mwangu unakutana inanichukua muda mrefu kumjibu
lakini sijapata majibu mpaka sasa mimi naangalia tu kama shabiki naona
tu watu wana post huyo mara huyo- Ben Pol
‘Kwa mwaka huu hivi vitu vinachanganya
sana na sijui labda mpaka tusubiri tarehe 25 October nitapata ufumbuzi
kamili kwenye kile chumba cha kupigia Kura, lakini kuna wakati baadhi ya
wabunge wanaogopa unakuta mbunge akinitumia SMS kuhusu kum support
kwenye kampeni yake anasita kutoka na msimamo wangu niliojiwekea yaani
uchaguzi wa mwaka huu una changamoto nyingi sana’ – Ben Pol
Unaweza uka bonyeza play kumsikiliza Ben Pol
Note: Only a member of this blog may post a comment.