Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Thursday, September 3, 2015
Anonymous
LOWASSA Aahidi Neema Hii Kwa Mkoa wa Ruvuma -VIDEO
NEEMA! Mheshimiwa Edward Lowassa ameahidi kupitia upya mikataba ya madini ili yaweze kuwanufaisha wananchi mkoani Ruvuma amabao wamekua wakilalamika kwa muda mrefu sasa. Bonyeza play kuicheki video ya habari hiyo hapo chini , pia waweza ipakua/download.
Note: Only a member of this blog may post a comment.