Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Thursday, September 24, 2015
Anonymous
Kweli Watu WAMECHOKA! Baada ya Twaweza Kutoa Utafiti Wao...Wengine Waamua Kuingia Mtaani Kufanya Utafiti kwa Kutumia Box!
Wameona isiwe tabu, twaweza twaweza Kitu gani, bora wapige kura za maoni laivu bila chenga wenyewe, ENL vs JPM. Kariakoo hiyo. Una maoni gani kuhusu hali hii?!
Note: Only a member of this blog may post a comment.