Thursday, September 17, 2015

Anonymous

John MNYIKA Amtetea Vikali DR. SLAA Adai Yaliyotokea ni Kama Samsoni kwa Delila!

Mnyika amemtetea vikali Dr. Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA.
Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta ni mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.