Thursday, September 3, 2015

Anonymous

Issue ya Rich Mavoko kutapeli kufanya shoo ni kweli? ipo kwa Soudy Brown..#Uheard (Audio)

Leo Promota Ali babu amesikika kwenye Uheard na kusema aliongea na Rich Mavoko biashara ya Shoo iliyokuwa ifanyike Namanga lakini hakuweza kutokea wakati alishamlipa nusu ya fedha zake.
Baada ya kushindwa kutokea kwenye shoo Ali Babu aliamua kumfungulia kesi kituo cha Polisi Magomeni, na ili kuweza kumkamata aliamua kumtumia mwanamke ili aweze kukamatwa kisha akafikishwa mikononi mwa Polisi.
Mavoko baada ya kuzungumza na Polisi aliachiwa na Ali Babu amemtaka amlipe milioni 5  kutokana na hasara aliyoipata ili waweze kufuta kesi.
Msikilize hapa Soudy Brown akizungumza na Promota Ali Babu kwenye U heard…
-via milardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.