Mtunzi mahiri wa nyimbo na muimbaji, Barnaba amepanga kuigusa tasnia ya nyimbo za injili kwa kufanya nyimbo nne za upako.
“Napenda sana gospel na kuna nyimbo zinakuja na kama ikitokea show nitafanya,” Barnaba alikiambia kipindi cha Chomoza cha Clouds TV.
Hata hivyo, Barnaba ataendelea kuwa mwimbaji wa Bongo Flava anaegusa pia nyimbo za injili.

Note: Only a member of this blog may post a comment.