Saturday, September 19, 2015

Anonymous

ALIKIBA Atajwa Kwenye Kitabu Cha Maisha ya Mfalme R.Kelly, ‘Soulacoaster: The Diary Of Me’

Mfalme wa R&B duniani Robert “R.Kelly” Kelly ana kitabu (autobiography) kinachoelezea safari ya maisha yake kutoka kwenye umasikini hadi kuwa maarufu. Kitabu hicho kinaitwa ‘Soulacoaster: The Diary Of Me’.
kitabu cha r.kelly
R.Kelly aliki-dedicate kitabu hicho chenye kurasa 392 kwa watu wawili muhimu katika maisha yake ambao ni mama yake mzazi aliyefariki miaka ya 90, pamoja na mwalimu wake wa muziki wa high school, Lena McLin.
Katika kitabu hicho ambacho kilitoka June 28, 2012, R.Kelly pia aligusia project ya One 8 ambayo ilimkutanisha na wasanii 8 kutoka nchi 8 za Afrika akiwemo Alikiba aliyeiwakilisha Tanzania. Wengine ni Amani (Kenya), Navio (Uganda), 2face Idibia (Nigeria), Fally Ipupa (Congo), JK (Zambia), 4X4 (Ghana), na Movaizhaleine (Gabon).
Hii ndio sehemu ambayo amezungumzia project ya One 8 katika kitabu hicho ambayo alimtaja na Alikiba:
R.kelly's book

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.