Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, August 10, 2015
Anonymous
Tetesi za Wakongwe wa CCM Kuhama Chama na Kujiunga na UPINZANI Zaanza Kunukia..Hali ni Tete CCM
Hali ni "TETE" CCM!
Tetesi za wakongwe wa CCM kuhama chama na kujiunga na UPINZANI zaanza kunukia!
Mafuriko ya Lowassa hayazuiliki. Sumaye na Bilali wanategemewa kufanya maamuzi magumu wakati ukifika.
Tusubiri tuone!
Note: Only a member of this blog may post a comment.