Tuesday, August 11, 2015

Anonymous

RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUKA KUHUSU UGONJWA WA MBOWE! AANDIKA HAYA!

Ni stori ambayo imechukua headline kwa mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowejana Aug 10 2015 baada ya kumaliza harakati za kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais kwenye tume ya taifa ya uchaguzi, alipelekwa hospitali baada ya kupata kizunguzungu kikubwa.

Sasa leo Agosti 11, 2015 Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ambae ni mtoto wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter ameandika ujumbe wa pole kwa mwenyekiti huyo baada ya kuumwa ghafla.
‘Afya ni Muhimu kuliko jengine lolote. Pole sana Mwenyekiti kwa kuumwa ghafla. Wagombea na wapiga debe tupime afya’ – Ridhiwani Kikwete.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.