
Mgombea Urais wa Chadema kupitia UKAWA, Edward Lowassa akiwa kwenye daladala asubuhi hii kuangalia kero za wananchi maeneo ya Gongo la Mboto kuelekea Chanika.
Una maoni gani juu ya hatua hii ya kiongozi huyu mwenye ushawishi mkubwa hivi sasa nchini!

Note: Only a member of this blog may post a comment.