Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba
yake kwa moto wakati akiwa kwenye miangaiko yake ya kila siku katika
uzinduzi wa kampeni uliyofanyika Jana Jangwani Dar es salaam.
Watu wengine wamehusisha swala hili na mambo ya chuki za kisiasa lakini
me namshukuru Mungu hakuna aliyepoteza maisha wa kujeruhiwa katika ajali
hii, ndani kulikuwa na mtoto wa ndugu yangu lakini jirani walivunja
vioo na kumnusu lakini mali hakuna nilichookoa zaidi ya magari yangu tu"
Aliongezea kwakusema kwa sasa yupo kwenye kikao kwa ajili ya mipango ya kupata makazi mengine hapo kesho panapo majariwa.
Aliongezea kwakusema kwa sasa yupo kwenye kikao kwa ajili ya mipango ya kupata makazi mengine hapo kesho panapo majariwa.


Note: Only a member of this blog may post a comment.