Wednesday, August 12, 2015

Anonymous

LINEX Amchana Nuh Mziwanda, Azikejeli Tattoo Zake Zenye Jina la SHILOLE

Nuh Mziwanda ana wakati mgumu wiki hii. Wema Sepetu na Idris Sultan wamemharibia siku yake na kama haitoshi, Linex naye yupo shingoni mwake!
11262085_10203439812076588_8489390092534120515_n
Muimbaji huyo wa Salima, ametumia mtandao wa Facebook kumtupia dongo ‘Mzee wa Vipepeo’ kwa kukejeli uamuzi wake wa kujichora tattoo yenye jina la Shilole.
“Hao wanawake zenu mnao wachora tattoo za majina yao si pia walikua wanawake zetu tukashindwa tabia zao so jiandae kufuta tattoo yako,” aliandika Linex.
Nuh amejichora tattoo mbili zenye jina la mpenzi wake huyo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.