Saturday, August 8, 2015

Anonymous

JOKATE KIDOTI Afungukia Ushindi Wake!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
SIKU chache baada ya kupata ushindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike kupitia filamu ya Mikono Salama, muigizaji Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kamwe hakubahatisha na kwamba ataendelea kuongeza bidii katika uigizaji wake japo hajaweka nia thabiti juu ya kazi hiyo. 

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu hivi karibuni, mrembo huyo alisema, anaamini ana kipaji halisi cha kuigiza, lakini kupata tuzo hiyo haimaanishi kuwa anajua kuliko wenzake.

“Hiki ni kipaji changu halisi, nashukuru sana kwa kupata ushindi huu, sijabahatisha, wameangalia vigezo lakini haimaanishi kuwa naweza kuliko wengine,” alisema Jokate

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.